Skip to Content

"humchukia"

5 mara katika SUV

Bwana humjaribu mwenye haki; Bali nafsi yake humchukia asiye haki, Na mwenye kupenda udhalimu.

Ndugu zote wa maskini humchukia; Jinsi gani rafiki zake huzidi kujitenga naye! Huwafuata kwa maneno, lakini wametoweka.

Wamwagao damu humchukia mtu mkamilifu; Bali wenye haki humtunza nafsi yake.

Wao humchukia yeye akemeaye langoni, nao humzira anenaye maneno ya adili.

Yeye anichukiaye mimi humchukia na Baba yangu.