3 mara katika SUV
Mizani ya hadaa ni chukizo kwa Bwana; Bali vipimo vilivyo sawasawa humpendeza.
Wenye kuhalifu moyoni ni chukizo kwa Bwana; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.
Kutenda haki na hukumu Humpendeza Bwana kuliko kutoa sadaka.