Skip to Content

"huona"

6 mara katika SUV

Yeye huona chuma kuwa kama nyasi, Na shaba kama mti uliooza.

Wana-simba hutindikiwa, huona njaa; Bali wamtafutao Bwana hawatahitaji kitu cho chote kilicho chema.

Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.

Hupokonya upande wa mkono wa kuume, nao huona njaa! Hula upande wa mkono wa kushoto, wala hawashibi! Watakula kila mtu nyama ya mkono wake mwenyewe.

Mfua chuma hufanza shoka, hufanya kazi kwa makaa, huitengeneza sanamu kwa nyundo, huifanyiza kwa nguvu za mkono wake; naam, huona njaa, nguvu zake zikampungukia; asipokunywa maji huzimia.

kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.