Upepo wa mashariki humchukua, naye huondoka; Na kumkumba atoke mahali pake.
Mungu huondoka, adui zake wakatawanyika, Nao wamchukiao huukimbia uso wake.
Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,
Kwa maana mwana humwaibisha babaye, na binti huondoka ashindane na mamaye; na mwanamke aliyeolewa hushindana na mavyaaye; adui za mtu ni watu wa nyumbani mwake mwenyewe.