Kwani huongeza uasi juu ya dhambi zake, Apiga makofi kati yetu, Na kuongeza maneno yake kinyume cha Mungu.
Aliye na hekima moyoni ataitwa mwenye busara; Utamu wa maneno huongeza elimu.
Utajiri huongeza rafiki wengi; Bali maskini hutengwa na rafiki yake.
Mtu mwenye hekima ana nguvu; Naam, mtu wa maarifa huongeza uwezo;
Tena matendo yao yote huyatenda ili kutazamwa na watu; kwa kuwa hupanua hirizi zao, huongeza matamvua yao;