Mara yu katika njia kuu, mara viwanjani, Naye huotea kwenye pembe za kila njia.
Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa.
Naam, huotea kama mnyang'anyi; Huwaongeza wenye hila katika wanadamu.
Maana katika watu wangu wameonekana watu waovu; huotea kama vile watu wategao mitego; hutega mtego, na kunasa watu.
Mtu amchaye Mungu ametoweka, asionekane katika nchi, wala hapana mtu mwenye adili katika wanadamu; wote huotea ili kumwaga damu; kila mtu humwinda ndugu yake kwa wavu.