Skip to Content

"huotea"

5 mara katika SUV

Mara yu katika njia kuu, mara viwanjani, Naye huotea kwenye pembe za kila njia.

Maneno ya waovu huotea damu; Bali kinywa cha wanyofu kitawaokoa.

Naam, huotea kama mnyang'anyi; Huwaongeza wenye hila katika wanadamu.

Maana katika watu wangu wameonekana watu waovu; huotea kama vile watu wategao mitego; hutega mtego, na kunasa watu.

Mtu amchaye Mungu ametoweka, asionekane katika nchi, wala hapana mtu mwenye adili katika wanadamu; wote huotea ili kumwaga damu; kila mtu humwinda ndugu yake kwa wavu.