Huenda jioni, na asubuhi hurudi nyumba ya pili ya wanawake, mikononi mwa Shaashgazi, msimamizi wake mfalme, mwenye kuwalinda masuria. Wala haingii tena kwa mfalme, isipokuwa amempendeza mfalme, naye akaitwa kwa jina.
Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.
Wakati wa jioni hurudi, hulia kama mbwa, Na kuzunguka-zunguka mjini.
Wakati wa jioni hurudi, hulia kama mbwa, Na kuzunguka-zunguka mjini.
Wote huendea mahali pamoja; wote hutoka katika mavumbi; na hata mavumbini hurudi tena.