Mwanamke wa adabu huheshimiwa daima; Na watu wakali hushika mali siku zote.
Mjusi hushika kwa mikono yake; Lakini yumo majumbani mwa wafalme.
Bali mwungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.
Mbona, basi, watu hawa wa Yerusalemu wamegeuka waende nyuma, wasikome kugeuka hivyo? Hushika udanganyifu sana, hukataa kurudi.