Asiye haki hutamani nyavu za wabaya; Bali shina lao wenye haki huleta matunda.
Nafsi ya mtu mbaya hutamani uovu; Jirani yake hapati fadhili machoni pake.
Nao hutamani mashamba, na kuyashika; na nyumba pia, nao huzichukua; nao humwonea mtu na nyumba yake, naam, mtu na urithi wake.
Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka.