Skip to Content

"hutamani"

4 mara katika SUV

Asiye haki hutamani nyavu za wabaya; Bali shina lao wenye haki huleta matunda.

Nafsi ya mtu mbaya hutamani uovu; Jirani yake hapati fadhili machoni pake.

Nao hutamani mashamba, na kuyashika; na nyumba pia, nao huzichukua; nao humwonea mtu na nyumba yake, naam, mtu na urithi wake.

Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka.