Skip to Content

"huthibitika"

3 mara katika SUV

Wafalme wakitenda yasiyo haki ni chukizo; Maana kiti cha enzi huthibitika kwa haki.

Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita.

Nyumba hujengwa kwa hekima, Na kwa ufahamu huthibitika,