Naye alikuwa amevaa kanzu ndefu; kwa kuwa kwa nguo hizo huvikwa binti za mfalme waliokuwa wanawali. Ndipo mtumishi wake akamleta nje, akafunga mlango nyuma yake.
Kaskazini hutokea umemetufu wa dhahabu; Mungu huvikwa ukuu utishao.
Wajinga hurithi upumbavu; Bali wenye busara huvikwa taji ya maarifa.
Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.