Binadamu huenda tu huko na huko kama kivuli; Hufanya ghasia tu kwa ajili ya ubatili; Huweka akiba wala hajui ni nani atakayeichukua.
Huweka nyumbani mwanamke aliye tasa, Awe mama ya watoto mwenye furaha.
Achukiaye huficha chuki kwa midomo yake; Naye huweka akiba ya hila moyoni mwake.