Lakini mwanadamu huzaliwa ili apate mashaka, Kama cheche za moto zirukavyo juu.
Maana kama mwanamke alitoka katika mwanamume, vile vile mwanamume naye huzaliwa na mwanamke; na vitu vyote asili yake hutoka kwa Mungu. Hukumuni ninyi wenyewe katika nafsi zenu.