Skip to Content

"ikamtokea"

3 mara katika SUV

Kura ya kwanza ikamtokea Yehoiaribu, na ya pili Yedaya;

Kura ya kwanza ikamtokea Yusufu, kwa Asafu; ya pili Gedalia; yeye na nduguze na wanawe, kumi na wawili;

Kura ya mashariki ya lango ikamwangukia Meshelemia. Ndipo wakamtupia kura Zekaria mwanawe, mshauri mwenye busara; na kura yake ikamtokea ya kaskazini.