Nao wakawakung'utia mavumbi ya miguu yao, wakaenda Ikonio.
Mtu huyo alishuhudiwa vema na ndugu waliokaa Listra na Ikonio.
na upendo, na saburi; tena na adha zangu na mateso, mambo yaliyonipata katika Antiokia, katika Ikonio, na katika Listra, kila namna ya adha niliyoistahimili, naye Bwana aliniokoa katika hayo yote.