Na wana wa Asheri kwa jamaa zao; wa Imna, jamaa ya Waimna; wa Ishvi jamaa ya Waishvi; wa Beria, jamaa ya Waberia.
Wana wa Asheri; Imna, na Ishva, na Ishvi, na Beria, na umbu lao, Sera.
Na wana wa nduguye Helemu; Sofa, na Imna, na Sheleshi, na Amali.
Na Kore, mwana wa Imna, Mlawi, bawabu wa mlango wa mashariki, alizisimamia sadaka za hiari za Mungu; ili kugawa matoleo ya Bwana, navyo vitu vilivyokuwa vitakatifu sana.