Tena na Ira, Myairi, alikuwa kuhani kwa Daudi.
na Helesi, Mpeloni, na Ira, mwana wa Ikeshi, Mtekoi;
na Ira, Mwithri, na Garebu, Mwithri;
Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abiezeri Mwanathothi;
Ira Mwithri, Garebu Mwithri;
Akida wa sita wa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi, Mtekoi; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.