Na wana wa Kohathi; ni Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli; na miaka ya maisha ya huyo Kohathi ilikuwa ni miaka mia na thelathini na mitatu.
Na wana wa Ishari; ni Kora, na Nefegi, na Zikri.
Basi Kora, mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, akatwaa watu, pamoja na Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni, mwana wa Pelethi, waliokuwa wana wa Reubeni;
Na wana wa Hela walikuwa Serethi, na Ishari, na Ethnani.
Na wana wa Kohathi; Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.
Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.
Wana wa Kohathi; mwanawe huyo ni Ishari, na mwanawe huyo ni Kora, na mwanawe huyo ni Asiri;
mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.
Wana wa Kohathi; Amramu, Ishari, Hebroni, na Uzieli, watu wanne.
Wana wa Ishari; Shelomithi mkuu wao.