Tena itakapokuwapo hiyo yubile ya wana wa Israeli, ndipo urithi wa hiyo kabila ambayo wamekuwa ndani yake utaongezewa huo urithi wao; hivyo urithi wao utaondolewa katika urithi wa kabila ya baba zetu.
Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu, Itakapokuwapo raha mavumbini.
Kwa kuwa hazina yenu ilipo, ndipo itakapokuwapo na mioyo yenu.