kwa maana nawaambia ya kwamba siili tena hata itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu.
isipokuwa katika siku za sauti ya malaika wa saba atakapokuwa tayari kupiga baragumu; hapo ndipo siri ya Mungu itakapotimizwa, kama alivyowahubiri watumishi wake hao manabii.