Skip to Content

"kesheni"

9 mara katika SUV

Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.

Kesheni, mwombe, msije mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.

Angalieni, kesheni, [ombeni] , kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo.

Kesheni basi, kwa maana hamjui ajapo bwana wa nyumba, kwamba ni jioni, au kwamba ni usiku wa manane, au awikapo jimbi, au asubuhi;

Na hilo niwaambialo ninyi, nawaambia wote, Kesheni.

Kesheni mwombe, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu.

Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.

Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi.

Kesheni, simameni imara katika Imani, fanyeni kiume, mkawe hodari.