Hata baada ya siku zile nyingi mfalme wa Misri akafa; wana wa Israeli wakaugua kwa sababu ya ule utumwa, wakalia; kilio chao kikafika juu kwa Mungu kwa sababu ya ule utumwa.
Na wale wasiokufa walipigwa kwa yale majipu; na kilio cha mji kikafika mbinguni.