Tena fanya vivyo kwa punda wake; tena fanya vivyo kwa mavazi yake; tena fanya vivyo kwa kila kitu kilichopotea cha nduguyo, kilichompotea ukakiona wewe; usijifiche kama usiyekiona.
[Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.]
Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.