Ila mfalme Sulemani atakuwa amebarikiwa, na kiti cha enzi cha Daudi kitathibitika mbele za Bwana hata milele.
Kitathibitika milele kama mwezi; Shahidi aliye mbinguni mwaminifu.
Mwondoe asiye haki mbele ya mfalme, Na kiti chake cha enzi kitathibitika katika haki.
Mfalme awahukumuye maskini kwa uaminifu; Kiti chake cha enzi kitathibitika milele.