njuga na komamanga, njuga na komamanga katika pindo za joho kuizunguka pande zote, ili kutumika kwa hiyo; vile vile kama Bwana alivyomwagiza Musa.
Midomo yako ni kama uzi mwekundu, Na kinywa chako ni kizuri; Mashavu yako ni kama kipande cha komamanga, Nyuma ya barakoa yako.
Machipuko yako ni bustani ya komamanga, Yenye matunda mazuri, hina na nardo,
Mashavu yako ni kama kipande cha komamanga, Nyuma ya barakoa yako.