Naye, huku akichochewa na mamaye, akasema, Nipe hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.
Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule kijana; akakichukua kwa mamaye.
Akajibu akasema, Yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika kombe, ndiye atakayenisaliti.
Mara akaingia kwa haraka mbele ya mfalme, akaomba akisema, Nataka unipe sasa hivi katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.
akakileta kichwa chake katika kombe, akampa yule kijana, naye yule kijana akampa mamaye.
Akawaambia, Ni mmoja wa hao Thenashara, ambaye achovya pamoja nami katika kombe.