Hapana mwenye kuamua katikati yetu, Awezaye kutuwekea mkono sote wawili.
Nawe wasema, Mungu anajua nini? Je! Aweza kuamua kati ya giza kuu?
Na katika mashindano watasimama ili kuamua; wataamua sawasawa na hukumu zangu; nao watazishika sheria zangu, na amri zangu, katika sikukuu zangu zote zilizoamriwa; nao watazitakasa sabato zangu.