Wao wamekufa, hawataishi; wamekwisha kufariki, hawatafufuka; kwa sababu hiyo umewajilia, na kuwaangamiza, na kuupoteza ukumbusho wao.
walioonekana katika utukufu, wakanena habari za kufariki kwake atakakotimiza Yerusalemu.
Kwa maana, mimi sasa namiminwa, na wakati wa kufariki kwangu umefika.
Walakini nitajitahidi, kwamba kila wakati baada ya kufariki kwangu mpate kuyakumbuka mambo hayo.