Skip to Content

"kufuga"

2 mara katika SUV

Ada akamzaa Yabali; huyo ndiye baba yao wakaao katika hema na kufuga wanyama.

lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.