Mwenye kuihukumu nchi, ujitukuze, Uwape wenye kiburi stahili zao.
Huishambulia nafsi yake mwenye haki, Na kuihukumu damu isiyo na hatia.
Ndugu, msisingiziane; amsingiziaye ndugu yake, au kumhukumu ndugu yake, huisingizia sheria na kuihukumu sheria. Lakini ukiihukumu sheria, huwi mtenda sheria, bali umekuwa hakimu.