Washindanao na Bwana watapondwa kabisa; Toka mbinguni yeye atawapigia radi; Bwana ataihukumu miisho ya dunia; Naye atampa mfalme wake nguvu, Na kuitukuza pembe ya masihi
Kumbuka kuitukuza kazi yake, Watu waliyoiimbia.
Bwana akapendezwa, kwa ajili ya haki yake, kuitukuza sheria, na kuiadhimisha.