Ujifanyizie vishada katika pembe nne za mavazi yako ya kujifunika.
Hujilaza usiku kucha uchi pasipo nguo, Wala hawana cha kujifunika baridi.
Maana kitanda kile ni kifupi asiweze mtu kujinyosha juu yake, na nguo ile ya kujifunika ni nyembamba asipate mtu kujizingisha.