Wa hao wanaozitumainia mali zao, Na kujisifia wingi wa utajiri wao;
Kwa nini kujisifia uovu, Ewe jabari? Wema wa Mungu upo sikuzote.
Bali ninyi mtaitwa makuhani wa Bwana; watu watawaiteni wahudumu wa Mungu wetu; mtakula utajiri wa mataifa, na kujisifia utukufu wao.
Kwa maana ikiwa Ibrahimu alihesabiwa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia; lakini si mbele za Mungu.