Skip to Content

"kujisifia"

4 mara katika SUV

Wa hao wanaozitumainia mali zao, Na kujisifia wingi wa utajiri wao;

Kwa nini kujisifia uovu, Ewe jabari? Wema wa Mungu upo sikuzote.

Bali ninyi mtaitwa makuhani wa Bwana; watu watawaiteni wahudumu wa Mungu wetu; mtakula utajiri wa mataifa, na kujisifia utukufu wao.

Kwa maana ikiwa Ibrahimu alihesabiwa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia; lakini si mbele za Mungu.