Je! Hayo mafunjo yamea pasipo matope Na makangaga kumea pasipo maji?
Asubuhi yachipuka na kumea, Jioni yakatika na kukauka.
nayo ni ndogo kuliko mbegu zote; lakini ikiisha kumea, huwa kubwa kuliko mboga zote, ikawa mti, hata nyuni wa angani huja na kukaa katika matawi yake.
Nyingine zikaanguka penye mwamba; zilipoanza kumea zikakauka kwa kukosa rutuba.