Tazama, yuavunja, wala haiwezekani kujenga tena; Humfunga mtu, wala haiwezekani kumfungua.
Baadhi ya watu waliosimama huko wakawaambia, Mnafanya nini kumfungua mwana-punda?
Basi Pilato alisema nao mara ya pili, kwa vile alivyotaka kumfungua Yesu.
Na tangu hapo Pilato akatafuta kumfungua; lakini Wayahudi wakapiga makelele wakisema, Ukimfungua huyu, wewe si rafiki yake Kaisari; kila mtu ajifanyaye kuwa mfalme humfitini Kaisari.