Skip to Content

"kumtegemeza"

2 mara katika SUV

Ajapojikwaa hataanguka chini, Bwana humshika mkono na kumtegemeza.

Bwana MUNGU amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate kusikia kama watu wafundishwao.