Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.
Daudi akasema, Vema, nitafanya agano nawe, lakini nina sharti moja nitakalo kwako, nalo ni hili; Hutaniona uso wangu, isipokuwa uniletee Mikali, binti Sauli, hapo ujapo kuniona uso wangu.
Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.