Skip to Content

"kuniona"

3 mara katika SUV

Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi.

Daudi akasema, Vema, nitafanya agano nawe, lakini nina sharti moja nitakalo kwako, nalo ni hili; Hutaniona uso wangu, isipokuwa uniletee Mikali, binti Sauli, hapo ujapo kuniona uso wangu.

Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.