Skip to Content

"kunisaidia"

4 mara katika SUV

Naye Daudi akatoka ili kuwalaki, akajibu, akawaambia, Kama mmenijia kwa amani ili kunisaidia, basi moyo wangu utaambatana nanyi; lakini kama mmekuja ili kunisaliti kwa adui zangu, kwa kuwa hamna udhalimu mikononi mwangu, Mungu wa baba zetu na alitazame neno hili, na kulikemea.

Nawe, Bwana, usiwe mbali, Ee Nguvu zangu, fanya haraka kunisaidia.

Ufanye haraka kunisaidia, Ee Bwana, wokovu wangu.

Mkono wako na uwe tayari kunisaidia, Maana nimeyachagua mausia yako.