Haya nayo pia ni maneno ya wenye akili. Kupendelea watu katika hukumu si kwema.
Kupendelea watu si kwema; Wala mtu kuasi kwa ajili ya kipande cha mkate.
Na umbu lake, Oholiba, akayaona hayo walakini alizidi kuharibika kuliko yeye, kwa kupendelea kwake, na kwa uzinzi wake, uliokuwa mwingi kuliko uzinzi wa umbu lake.
Ndugu zangu, imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwe nayo kwa kupendelea watu.