Wakati wa kuua, na wakati wa kupoza; Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga;
Akawaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa amri juu ya pepo wachafu, wawatoe, na kupoza magonjwa yote na udhaifu wa kila aina.
Akawatuma wautangaze ufalme wa Mungu, na kupoza wagonjwa.
Wakaenda, wakazunguka katika vijiji, wakihubiri injili, na kupoza watu kila mahali.