Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]
Nyingine zikaanguka penye udongo mzuri; zikamea, zikazaa moja kwa mia. Alipokuwa akinena hayo alipaza sauti akisema, Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.
Haiifai nchi wala jaa; watu huitupa nje. Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.