Wa Zabuloni, watu wawezao kwenda pamoja na jeshi, hodari wa kupanga vita, wenye zana za vita za kila namna, hamsini elfu; askari wastadi wasiokuwa wenye moyo wa kusita-sita.
Kwa maana mimi ni karibu na kusita, Na maumivu yangu yako mbele yangu daima.
Watu wa kusita-sita nawachukia, Lakini sheria yako naipenda.