Skip to Content

"kuwabariki"

4 mara katika SUV

Hizo zote ndizo kabila za Israeli kumi na mbili. Na hayo ndiyo aliyowaambia baba yao, na kuwabariki; mmoja mmoja kwa mbaraka wake aliwabariki.

Basi Balaamu alipoona ya kuwa ilimpendeza Bwana kuwabariki Israeli, hakwenda, kama hapo kwanza, ili kutafuta uchawi, bali alielekeza uso wake jangwani.

Akasimama, na kuwabariki mkutano wote wa Israeli kwa sauti kuu, akasema,

Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.