Wana wa Gershoni; ni Libni, na Shimei, sawasawa na jamaa zao.
Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni; Libni, na Shimei.
Wa Gershoni; mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Yahathi, na mwanawe huyo ni Zima;
Wana wa Merari; Mali, na mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Shimei, na mwanawe huyo ni Uza;