Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;
Watu wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na watano.
Wana wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na mmoja.
Lodi, na Ono, bonde la Wakarashi.