Skip to Content

"mafahali"

7 mara katika SUV

ngamia wanyonyeshao thelathini pamoja na wana wao, ng'ombe wake arobaini na mafahali kumi; punda wake ishirini na wana wao kumi.

Mafahali wengi wamenizunguka, Walio hodari wa Bashani wamenisonga;

Je! Nile nyama ya mafahali! Au ninywe damu ya mbuzi!

Mkemee mnyama wa manyasini; Kundi la mafahali, na ndama za watu; Hata wanyenyekee na kuleta vipande vya fedha, Uwatawanye watu wapendao vita.

Na nyati watatelemka pamoja nao, na mahasai pamoja na mafahali, na nchi yao italewa kwa damu, na mavumbi yake yatanoneshwa kwa shahamu.

Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama ya ng'ombe waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa hata kuusafisha mwili;

Maana haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.