Yusufu akamjibu Farao, akisema, Si mimi; Mungu atampa Farao majibu ya amani.
Ndipo mfalme akapeleka majibu;
Wala hawakuweza kumshitaki kwa maneno yake mbele ya watu; wakastaajabia majibu yake, wakanyamaa.
Basi wakamwambia, U nani? Tuwape majibu wale waliotupeleka. Wanenaje juu ya nafsi yako?