Mvinyo yao ni sumu ya majoka, Uchungu mkali wa nyoka.
Hata hivyo chakula chake matumboni mwake kinabadilika, Kimekuwa ni nyongo za majoka ndani yake.
Ataamwa sumu ya majoka; Na ulimi wa fira utamwua.
Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?