Skip to Content

"makonde"

5 mara katika SUV

Atatwaa makonde yenu, na mashamba yenu ya mizabibu, na ya mizeituni, yale yaliyo mazuri sana, ili awape watumishi wake.

Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde Wala chanzo cha mavumbi ya dunia;

Lakini Nebuzaradani, amiri wa askari walinzi, akawaacha baadhi ya maskini wa watu, waliokuwa hawana kitu, katika nchi ya Yuda, akawapa mashamba ya mizabibu na makonde wakati uo huo.

Ndipo wakamtemea mate ya uso, wakampiga makonde; wengine wakampiga makofi,

Wengine wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, na kumpiga makonde, na kumwambia, tabiri. Hata watumishi nao wakampiga makofi.