Ili kuokoka na malaya, Naam, malaya mwenye kubembeleza kwa maneno yake;
Maana midomo ya malaya hudondoza asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta;
Mwanangu! Mbona unashangilia malaya, Na kukikumbatia kifua cha mgeni?
Wapate kukulinda na malaya, Na mgeni akubembelezaye kwa maneno yake.
Kinywa cha malaya ni shimo refu; Anayechukiwa na Bwana atatumbukia ndani yake.
Kwa maana kahaba ni shimo refu; Na malaya ni rima jembamba.